WAFANYAKAZI WA STAR TV WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA KAZI

Wahandishi wa Habari wa Startv jijini Dar Es Salaam wakiwa makini kila mmoja anawajibika katika kuelimisha  Jamii kwa kutowa habari sahihi zisizopotosha au kuchochea,kwa kuendana na misingi ya Habari.
Wakiongea na mwandishi wa Habari ya Blog hii wamesema kila mwandishi wa habari anatakiwa kufanya kazi kwa misingi bora ya habari ili iweze kulinda amani na utulivu wa taifa la Tanzania bila kuelemea upande wowote wa kutowa habari.

Mwandishi wa habari anatakiwa kubalance habari bila kuegemea upande wowote,hata hivyo habari za kisiasa zinatakiwa kuweka uzalendo  pamoja na za michezo ili kuendana sambasamba na mahadili ya uandishi hayo yamesemwa baada ya kufanya mahojiano na mwandishi wa blog hii.

Mhariri wa Startv Tom Chilala amekemea kwa baadhi ya watu wanaoharibu taaluma za kazi za watu hasa kwenye taswira za habari maarufu kwa jina la Makanjanja.wabadilike wasitake kupitia njia za mkato katika maisha anaweza kujikuta anapata matatizo  ya udanganyifu.


Naye mwandishi wa michezo Startv Ahmedy Ally amesema ipo haja kwa mwandishi kupenda kazi yake,kushirikiana ili taaluma ya habari iweze kuheshimika nchini na kuleta tija ya maendeleo ya uchumi.
TOM CHILALA(mhariri wa Star TV)Katikati akiwa na wafanyakazi wenzie 

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.

Wafanyakazi wa Star Tv wakiwa katika majukumu ya kazi.



Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List