WATANZANIA WAOMBWA KUSHIRIKI KIKAMIRIFU KATIKA ZOEZI LA KURA ZA KATIBA MPYA.

Rais  wa Jamhuri ya Mungano Tanzania Mh. Jakaya  Kikwete  akipokea Katiba Mpya inayopendekezwa kutoka kwa aliyekuwa mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba Mh.Samwel Sitta wakati wa hafla iliyofanyika kwenye uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma juzi,katikati ni rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein

Rais Kikwete alieleza maeneo matatu yenye utata ambayo yanatakiwa kupatiwa ufumbuzi ili kufanikisha hatua hiyo.
Alisema suala la kwanza ni ratiba iliyotolewa na Tume ya Taifa ya uchaguzi kuelekea uchaguzi mkuu ujao ambayo inaonyesha mchakato wa kuandika upya Daftari la wapiga kura utakamilika Mei.2015.

Tume ya Taifa ya uchaguzi NEC imesema haitaendesha uchaguzi wa aina yeyote,wala kuitisha kura ya maoni hadi kazi ya kuboresha daftari  lakudumu la wapiga kura itakapokamilika.
Kauli ya NEC imekuja siku moja baada ya Rais Jakaya Kikwete kukabidhiwa Katiba inayopendekezwa na Mwenyekiti wa lililokuwa Bunge Maalumu la Katiba Samweli Sitta na kulitaja suala la Uboreshaji wa daftari  hilo kama mambo matatu yanayoweka kura ya maoni kupitisha katika hiyo njia panda mambo mengine ni sheria inayotaka kura hiyo ipigiwe ndani ya siku 84 baada ya Katiba inayopendekezwa kuchapishwa na kufanyiwa marekebisho ya sheria ya mabadiliko ya Katiba.
Mwenyekiti wa NEC,Jaji Damian Lubuva alisema kuendesha uchaguzi bila kuboresha daftari hilo ni kuongeza malalamiko kwa wananchi na wadau husasan vyama vya siasa.

Msimamo wa NEC bila daftatari kboreshwa awapo tayari kuendesha uchaguzi wowote hata wa kura ya maoni,alisema sasa kuna takribani vijana milioni .2.3 ambao wamefikisha umri wa kupiga kura,kuna watu waliokufa vyote hivyo vinatakiwa kuboreshwa na Tume awapo tayari kwa sasa wananchi inapaswa wafahamuKuhusu hoja NEC itumie daftari lililopo kama ambavyo wamefanya katika uchaguzi mdogo mara kwa mara pale Mbunge anapofariki dunia,Jaji Lubuva alisema Tume yake haitaki yajiridie malalamiko ambapo imeyapata kupitia uchaguzi wa aina hiyo.

Katika uchaguzi wa Kalenga,Arumeru mashariki na Chalinze  malalamikonyalitolewa kwa wingi kuhusu matumizi ya daftari hivyo kutokana na malalamiko hayo yaliyotokana na vyama vya siasa  awatapenda tena kupata mengine kama hayo.


Kuhusu lini kuboresha daftari hilo itaanza,Jaji Lubuva alisema.wanasubiri vifaa vifike na vitakapofika tu zoezi ilo litaanza mara moja.

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho kikwete na Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Dkt. Mohamed Ali Shein, kwa pamoja wakiinua juu kuonyesha Rasimu ya Katiba inayopendekezwa baada ya kukabidhiwa rasmi na Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta na kuizindua jana mjini Dodoma.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na Makamu Mwenyekiti, Samiah Suluhu, wakati alipowasili kwenye uwanja wa Jamhuri.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya viongozi wakati alipowasili kwenye uwanja wa Jamhuri mjini dodoma jana kwa ajili ya kuhudhuria sherehe za makabidhiano ya Raismu ya Katiba mpya. 
Baadhi ya Mabalozi waliohudhuria sherehe hizo
 Baadhi ya wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba wakiwa uwanjani hapo.
 Baadhi ya Wajumbe na wageni waalikwa.
 Sehemu ya wageni waalikwa.....
 Jukwaa la wapiga picha.... KWA MUUKIO ZAIDI YA PICHA ZA SHEREHE HIZO BOYFA READ MORE

 Bendi ya ikitoa burudani jukwaani.....
 Baadhi ya wabunge wakifurahia wakati wakisebeneka na miondoko ya Taarab kutoka kwa Khadija Kopa
 Mbunge wa Maswa John Shibuda, akijumuika na wasanii wa ngoma ya asili kutoka Mkoa wa Shinyanga kusebeneka...
 Martha Mrata na Mageth Sita wakifurahia wakati wakiserebuka katika sherehe hizo. 
 Wajumbe wakiserebuka 
 |Serebuka....
 Wajumbe wakirudi jukwaani....
 Wasanii wa bendi ya TOT Taarab wakishambulia jukwaa.....
 Baadhi ya wafanyakazi wa Bunge.....
 Mrema akiungana na wajumbe wenzake kusherehekea.....
 Kila mmoja alikuwa na furaha teleee.....
 Rais Jakaya Kikwete, akisalimiana na viongozi wa jukwaa kuu baada ya kuwasili uwanjani hapo.
 Wajumbe na wageni waalikwa wakisimama kuimba wimbo wa Taifa..
 Jukwaa Kuu wakisimama kuimba wimbo wa Taifa....
 Baadhi ya Wajumbe....
 Mwenyekiti wa Kamati ya uandishi Andrew Chenge, akisoma hotuba yake...
 Wimbo maalum wa Katiba uliotungwa na kuimbwa na wajumbe wanawake....
 Msanii Mrisho Mpoto na Ismail wakitoa burudani...
 Rais Kikwete akikabidhi Vyeti kwa Wajumbe washiriki wa Bunge hilo....Paul Kimiti wakati wa hafla fupi iliyofanyika kwenye viwanja vya Ikulu ndogo mjini Dodoma.
 Rais Jakaya Kikwete akimkabidhi cheti Asha-Rose Migiro..
 Zoezi la kukabidhi vyeti likiendelea kwa Wajumbe washiriki wa Bunge hilo..
 Mbunge wa Maswa John Shibuda, akikabidhiwa cheti na Rais Kikwete.
 Paul Makonda, akikabidhiwa cheti na Rais.....
 Picha ya pamoja kwa kumbukumbu viongozi wakuu wa kitaifa na wenyeviti wa Bunge hhilo..
 Picha ya pamoja......



Share on Google Plus

About SDM PRODUCTION MEDIA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List