WAJASIRIAMALI WADOGO NA WAKATI WAPATIWA MAFUNZO YA SHERIA YA AJIRA


Wajasiriamali wadogo na wakati wapatiwa semina ya kufahamu sheria ya Ajira pamoja kujuwa wajibu wake wa kazi kuwa na uwelewa wa misingi ya haki ili waweze kufahamu  sheria za ajira.

Semina hiyo imeandaliwa na Chama cha wajiri ,wizara ya kazi,Shirika la kazi Duniani kwa lengo la kuwapatia uwelewa wa kutoa ajira kwa wajasiriamali wadogo na wakati ,pamoja na waajiriwa kujua haki zao za ajira pamoja na sheria za kazi,jumla waliopatiwa mafunzo hayo wajasiriamali wapatao 100 kutoka maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam


Afisa wa Kazi mkuu wizara ya kazi na Ajira Baltazar John Mushi  amesema hipo aja ya Jamii nchini kujua sheria ya Ajira na wajibu wake katika ajira yake sehemu yake ya kazi pamoja na LIkizo ili wasipoteze haki yake anapokuwa na huwelewa wa ajira.

 Afisa mradi shirika la Kazi Duniani ILO Bi Rukia Lukanza na Mkufunzi kutoka shirika la kazi Duniani  Ben  Mwambela wamesema endapo Jamii ikiwa na huwelewa haki zao zitakuwa hazizurumiwi hata waajiri watafata sheria kwa wafanyakazi wao

Naye Mwanasheria kutoka chama cha Waajiri Tanzania Bi Suzane  Ndomba pamoja na wahitimu wa mafunzo ya  ya sheria ya ajira walikuwa na haya ya kusema

Wajasiriamali wadogo na wakati wapatiwa mafunzo ya kujengewa uwelewa wa kujua sheria na haki za ajira jumla wajasiriamali walio patiwa mafunzo hayo ni mia moja










Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List