MAMLAKA YA MAPATO TANZANIA TRA IMEZINDUA WIKI YA MLIPA KODI KWA BONANZA KUBWA VIWANJA VYA TCC CLUB



Mamlaka ya Mapato Tanzania  TRA Imezindua wiki ya  Mlipa KOdi lengo likiwa ni kutoa elimu jinsi ya ulipaji Kodi kwa wateja wao,Uzinduzi huo umefanyika katika Viwanja vya TCC Club  Jijini Dar Es Salaam

Akiongea katika Uzinduzi huo  wa Bonanza uliotayalishwa na Mamlaka wa Mapato Tanzania TRA dhumuni la Tamasha ilo ni kuongezea Jamii uwelewa wa kulipa kodi kwa wakati,


Kamishina wa Forodha na Ushuru Tiatel Kabisi mgeni rasmi  amesema lengo kutoa elimu kwa jamii ili wapate uwelewa wa kulipa Kodi ,ambapo aliweza kuelezea kauli mbiu ya mwaka  huu Mteja kupata List ni haki yako,mfanyabiashara asiyetoa List ana kwepa Kodi

Tiatel Kabisi hata hivyo amesema kumewa  kumefanyika Bonanza ambalo limeshirikisha michezo mbalimbali kati ya NSSF na TRA  ambapo NSSF waliwakilisha walipa kodi wenzao


Afisa Uendashaji wa Technohoma na mawasiriano NSSF Kassim Mwawanda Kocha wa NSSF na Afisa wa Elimu na huduma kwa Mlipa Kodi TRA ,Lameck Ndinda Kocha wa TRA wamesema michezo ni moja ya kujuwana,kuelimishana na kujenga afya,



Katika wiki hiyo ya Mlipa Kodi watajishughulisha na maswala ya Kijamii ikiwepo kutoa madawati na dawa katika baadhi ya shule na hospitali,ambapo michezo hiyo ya kirafiki NSSF walihibuka na ushindi wa michezo mbalimbali dhidhi ya TRA waandahaji,michezo  hiyo










Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List