JAMII YAOMBWA KUSHIRIKIANA NA SERIKALI KATIKA KUBORESHA SEKTA YA ELIMU


Serikali  haitaweza kuboresha sekta ya elimu nchini kutokana na kukabiliwa na majukumu mengi,hivyo imetakiwa Jamii kushirikiana kwa pamoja kutoa michango ya kuongezea nguvu ya dhiada ili kuboresha elimu

Imeelezwa wananchi waachane na tabia ya kutoa michango mikubwa katika sherehe za Arusi na Ngoma,na badala yake wawekeze katika maswala ya elimu itakayo weza kusaidia kupata wataalam wa ndani  haswa wa Sayansi, hayo yameelezwa Jiji Dar Es Salaam  ambapo waliweza kupewa Vyeti kwa waliosaidia kutoa michango katika Sekta ya Elimu.

Prof Emanual  Bavu amesema serikali inamzigo mkubwa wa Majukumu ,ambapo sekta ya elimu inamahitaji mengi kwa kuachia serikali pekee taifa alitaweza kufanikiwa sekta ya Elimu

Naye Naibu Waziri wa Elimu na mafunzo ya Ufundi Mhe Jenista Mhagama ametowa wito  kwa Watanzania kubadilika kuwekeza katika sekta ya Elimu waachane na tabia ya kutoa michango mikubwa katika sheree za Arusi na Ngoma.
Baadhi ya Wadau wa Elimu waliotunikiwa Vyati kutoka sekta Binafsi na Serikali walikuwa na haya ya kusema


Serikali kwa kushirikiana na wadau mbalimbali taifa litafanikiwa kutoa elimu bora na sio bora Elimu 
Displaying DSC01309.JPG

Displaying DSC01310.JPG

Displaying DSC01315.JPG

Displaying DSC01327.JPG

Displaying DSC01336.JPG
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List