LIPUMBA ATAKA PINDA NA WENZAKE WATIMULIWE!



Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi CUF Prof.Ibrahim Lipumba, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, kuhusu sakata linaloendelea nchini la wizi wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow, ambapo chama hicho kimewata waliohusika kwa namna mbalimbali wajiuzulu au wafukuzwa haraka, akiwataja baadhi alisema Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Mwanasheria Mkuu wa Serikali Jaji Warema, Waziri wa Nishati na Madini Pro.Sospeter, Mhongo na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Eliakim Maswi, kulia ni Mkurugenzi wa ulinzi na usalama wa CUF taifa Yusufu Omari na Naibu Mkurugenzi wa habari na uenezi CUF taifa Abdul Kambaya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List