SIKU 16 ZA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA.



Mratibu wa maadhimisho ya kampeni ya siku 16, za kupinga ukatili wa kijinsia mwaka huu Dk.Judith Odunga kutoka taasisi ya WiLDAF, akizungumza na waandishi wa habari kuhusu maadhimisho hayo ambayo huanza Nov25 kila mwaka, siku  iliyotengwa kimataifa kupinga ukatili kwa wanawake ambapo ndani ya siku hizo matukio mbalimbali yatafanyika, kulia ni Afisa Mipango kutoka CDF, Fransisca Silayo na Afisa Mipango kutoka taasisi ya WiLDAF  Anna Kuvaya.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List