Bado jamii inaendelea kukabiliwa na matatizo ya watoto kushindwa kufanya vizuri darasani au kuacha kabisa shule.Hii imeonekana baada ya kampuni ya Next level na Golikipa wa Simba Ivon Mapunda kutembelea shule ya Msingi Sanze na shule ya Msingi Chanzige A za Kisalawe na kutoa misaada kwa watoto wanaoishi katika mazingira magumu na yatima.
Jamii imeshauriwa kutolifumbia macho suala hili na kuachana na mila na desturi potofu zisizo na Tija.
Ivo Mapunda golikipa wa Simba akitoa msaada kwa watoto.
0 comments:
Chapisha Maoni