Pia imeelezwa kwamba kitendo cha kukwepa kulipa kodi ni kitendo cha ufisadi na kuhujumu uchumi wa nchi.Mamlaka ya mapato inaendelea na shughuli mbalimbali ikiwemo michezo,elimu na utoaji wa Tuzo kwa watu waliofanya vizuri katika ulipaji wa Kodi.
Mwenyekiti IPP media ltd Reginand Mengi wakipeana mkono wa pongezi na Mkurugenzi wa Blog hii Gloria Matolla baada ya kupata tuzo ya ulipaji kodi bora.
Bwana Mengi akipewa cheti cha Tuzo ya ulipaji kodi bora.
Baadhi ya Wafanya biashara waliozawadiwa tuzo na Mamlaka ya Mapato Tanzania.
0 comments:
Chapisha Maoni