MIAKA 51 YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR!



Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) wakipita mbeke ya Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa Mwendo wa Pole pole  katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi  ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan Studium  leo.
Viongozi mbalimbali waliohudhuria sherehe hizo.
Askari wa Kikosi cha Mafunzo SMZ  wakipita mbele ya Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kwa Mwendo wa Pole pole katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan leo.
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Bendera wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa  Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan  leo.
Askari wa Jeshi la Polisi  Tanzania Kikosi cha FFU  wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa  Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan leo.
Askari wa Jeshi la wanamaji Zanzibar Kikosi  cha KMKM  wakitoa salamu ya Gwaride la mwendo wa haraka kwa  Mgeni Rasmi  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein  katika sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar katika Uwanja wa Amaan  leo.

Wasanii wa kutoka Gairo Mkoa wa Morogoro wakitoa burudani kwa ngoma ya Mtunya wakati wa sherehe za kuadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar kabla ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein kutoa hutuba yake katika sherehe hizo zilizofanyika jana Uwanja wa Amaan  Mjini Unguja
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List