MSAFARA WA CUF WASHAMBULIWA ZANZIBAR

Wanachana wa Chama cha wananchi CUF wamevamiwa na kujeruhiwa na watu wasiojulikana.

Kitendo hicho cha uvamizi wa msafara huo uliokua ukitokea katika mkutano wa hadhara makunduchi.
Watu hao walivamia msafara huo maeneo ya fuoni meli tano na kujeruhi watu kadhaa.

 




Hawa ni baadhi ya majeruhi 

Tunapenda kuwapa pole walikutwa na matatizo haya ila tunawashauri Wazanzibari waachane na siasa za uhasama hizi
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List