SERIKALI NA MKAKATI WA KUTOA TUZO KWA HALMASHAURI BORA ILI KUKUZA UWAJIBIKAJI KWA WATUMISHI WA UMMA.

Serikali inatarajia kuanza utaratbu mpya wa kuzishindanisha halmashauri zote nchini kiutendaji,ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wake wa kuondoa matuumizi mabaya ya fedha za Umma,kwa kutoa Tuzo kwa zile zitakazoshinda kwa matumizi mazuri ya Tuzo hizo.

Tanzania ina jumla ya Halmashauri 168 zilizoshiriki,ambapo 49 miongoni mwao zimeweza kukidhi mahitaji ya shindano hilo.

Waziri wa nchi ofisi ya rais,utumishi Hawa Ghasia amesema hivi sasa Serikali inaangalia namna bora ya kukabiliana na waarifu kwenye halmashauri,hususan wanaofuja fedha za miradi ya wananchi.

Meya wa jiji la Dar es Salaam Didas Masaburi,amesema watanzania hivi sasa wanataka kuona watumishi wa aina hiyo wanawajibishwa ili kuondoa lawama zinazoelekezwa Serikalini za kushindwa kukalibiana na wafujaji hao.

Wananchi watashirikisha kupiga kura kuchagua halmashauri inayofanya vizuri,na majaji watakaochaguliwa kusimamia zoezi hilo na halmashauri.

Mh:Hawa Ghasia

MEYA wa Jiji la Dar e s Salaam, Dk Didas Masaburi
Mh:Didas Masaburi,

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List