Hali ya majonzi bado imeendelea kutawala kwa walemavu wa ngozi,huku lawama zikiendelea kuelekezwa kwa serikali na jamii kwa kushindwa kupambana katika vita dhidi ya mauaji ya walemavu wa ngozi,yanayoendelea kutokea maeneo mbalimbali nchini.
Wananchi wanadai kuwa wauaji wanajulikana na jamii ila serikali imeshindwa kutengeneza mfumo mzuri wa kuwachukulia hukumu watuhumiwa na kuwalinda wanaotoa taarifa hizo.
Kijana Ashura mwanafunzi wa kidato cha nne mkoani Simiyu,analalamika kuwa bado wanahofu kutokana na ulinzi mdogo dhidi yao hasa nyakati za usiku
Viongozi wa dini pia wameona hali hii na udhaifu uliopo kati ya binadamu na hofu ya mungu.
Wanafunzi hawa kwa pamoja wanakutana kwenye kongamano la siku tatu la watoto walemavu jijini Dar es salaam,ikijuimuisha watoto kutoka nchi za Sweden,Rwanda na Tanzania ambao ni mwenyeji,ili kujadili changamoto za kielimu.
Sweden,imepiga hatua kubwa katika kuwawezesha walemavu kuelimika ,na hapa watatoa uzoefu wao ili kuishawishi serikali ya Tanzania,kuiga mfano wake.
- Blogger Comment
Jisajili kwenye:
Chapisha Maoni
(
Atom
)
Inaendeshwa na Blogger.
About Me
Wanaofuata
TANGAZO
My Blog List
-
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...Miaka 5 iliyopita
-
SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' ambaye kwa sasa anamnowa bondia Sunday Kiwale 'Moro Best' kwa aj...Miaka 5 iliyopita
-
BONDIA MAKUBI ATAMBA KUMPIGA ABDALLAH MA MOROGORO OKTOBA 4 KATIKA UKUMBI WA 361 MWENGE - Na Mwandishi wetu Bondia Ibrahim Makubi yupo kambini kwa ajili ya mazoezi yake ya kumkabili bondia abdallah kingolwira wa ( morogoro ) katika pambano l...Miaka 5 iliyopita
-
JUMA CHOKI AJIANDAA NA MASHINDANO YA KING OF THE RING JULAI 28 - Bondia Ibrahimu Makubi kushoto akioneshana umwamba na Juma Choki wakati wa Mazoezi yanayoendelea katika kambi ya Super D iliyopo shule ya Uhuru Kariakoo...Miaka 5 iliyopita
-
0 comments:
Chapisha Maoni