Mapokezi ya Chama cha ADC TANGA.




Wananchi wameonekana kukubali mabadiriko na demokrasia ndani ya Tanzania kwa kuonyesha Moyo wa kukipokea Chama hicho kwa shangwe na furaha kubwa mkoani Tanga.Wananchi hao wamedai wamechoshwa na hali Duni za maisha richa ya kuwa na vitega uchumi vingi kama madini.

Pia wamelalamikia uhaba wa maji na ukosefu wa Barabara bora,Elimu inayotolewa kwa kiwango kisicho cha kuridhisha ambapo wako tayari kuwachagua viongozi ambao wataleta mabadiriko hususani wa ADC (alliance democratic for change).

Mwenyekiti wa Vijana ADC taifa Mr.Mkomwa Husseni ametoa rai kwa vijana kutumia fursa vizuri kwa kujitokeza katika uchaguzi na kuwachagua viongozi bora wa ADC ili kuleta maendeleo Tanzania.














Pia amelaani tatizo la umasikini wa kipato kwa vijana na kusaulika kutokana nu uroho wa madaraka kwa baadhi ya viongozi na kuhaidi mabadiriko pindi watakapo pata ridhaa ya kutawala.
Kwa kuonyesha hali ya mabadiriko Naibu Katibu mkuu Bara Ndugu Doyo Hassan Doyo ametangaza kugombea ubunge jimbo la Handeni baada ya kuguswa na kero hizo za handeni.
   
Bara Ndugu Doyo Hassan Doyo
 
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List