CCM WAZAZI PIKIPIKI




Jumuiya ya wazazi wa ccm imekabidhi pikipiki kwa makatibu wa wilaya ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kupunguza kero ya usafiri na kuwawezeha kufika maeneo yote kwa urahisi na kujipanga kwa ajili ya uchaguzi ujao kupitia jumuiya hiyoo

pikipiki hizo zimetolewa na mwenyekiti jumuiya ya wazazi  taifa abdallah bulembo aliye kabidhi jumla a piki piki 170 kwa makatibu kutoka wilaya zote nchini





Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List