Watu wenye ulemavu wa ngozi wame eleza kuridhishwa na hatua zinazo chukuliwa kuendeha na serikali za kuwalinda dhidi ya mauwaji ingawa bado wanatoa wito kwa serikali kusambazwa waraka wa tiba kwenye mahospitali utakao wawezesha kupata huduma bila kunyanyapaliwa
malemavu hawa pamoja na mambo mengine wana changamoto mbali mbali za kiafya hususan kwenye ngozi ambazo huitaji fedha nying kukabiliana nazo wakati ambpo wengine wanakipato cha chini
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni