Wananchi wa eneo la bunju lililoko manispaa ya kinondoni jijini dar es salaam wameamua kuchoma moto kituo cha polisi cha bunju kutokana na hasira zilizo sababishwa na kugongwa na gari mtoto wa darasala la nne wa shule ya msingi bunju A
hatua hii inakuja baada ya kuwepo kwa matukio mengi ya kugongwa na magari katika eneo hilo bila
kuwepo kwa hatua zozote zinazo chukuliwa na
jeshi la polisi ingawa wamekuwa wakitoa tarifa
mara kwa mara
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni