KITUO CHA POLISI CHA TEKETEA KWA MOTO

 Wananchi wa eneo la bunju lililoko manispaa ya kinondoni jijini dar es salaam wameamua kuchoma moto kituo cha polisi  cha bunju kutokana na hasira zilizo sababishwa na kugongwa na gari mtoto wa darasala la nne wa shule ya msingi bunju A



hatua hii inakuja baada ya kuwepo kwa matukio mengi ya kugongwa na magari katika eneo hilo bila
                                                                                    kuwepo kwa hatua zozote zinazo chukuliwa na
                                                                                    jeshi la polisi  ingawa wamekuwa wakitoa tarifa
                                                                                     mara kwa mara


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List