UVAMIZI WA KITUO CHA POLISI STAKISHARI

 Watu wanao sadikika kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha polisi stakihari kilichopo ukonga jijini dar es salaam na kuwa askari polisi wa nne walio kuwa wakilinda kituo raia wawiwli walio kuwawakipata msaada kutoka kituoni hapo pamoja na jambazi mwenzao mmoja

watu hao walivamia kituo hiko kwenye majira ya saa nne usiku wa kuamkia jumatatu hii walifanikiwa kutoweka baada ya kutekeleza mauwaji hayo na kukimbia na baadhi ya silaha zilizo kuwa kituoni hapo



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List