Watu wanao sadikika kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha polisi stakihari kilichopo ukonga jijini dar es salaam na kuwa askari polisi wa nne walio kuwa wakilinda kituo raia wawiwli walio kuwawakipata msaada kutoka kituoni hapo pamoja na jambazi mwenzao mmoja
watu hao walivamia kituo hiko kwenye majira ya saa nne usiku wa kuamkia jumatatu hii walifanikiwa kutoweka baada ya kutekeleza mauwaji hayo na kukimbia na baadhi ya silaha zilizo kuwa kituoni hapo
KAMISHNA WA NCAA AONGOZA MAKABIDHIANO YA MWENGE WA UHURU NGORONGORO, KARATU
-
Mwandishi wa NCAA, Karatu.
Kamishna wa Uhifadhi wa Mamlaka ya Hifadhi ya eneo la Ngorongoro (NCAA) Bw.
Abdulrazaq Badru amewaongoza watumishi wa Mamlaka ...
Saa 15 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni