Watu wanao sadikika kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha polisi stakihari kilichopo ukonga jijini dar es salaam na kuwa askari polisi wa nne walio kuwa wakilinda kituo raia wawiwli walio kuwawakipata msaada kutoka kituoni hapo pamoja na jambazi mwenzao mmoja
watu hao walivamia kituo hiko kwenye majira ya saa nne usiku wa kuamkia jumatatu hii walifanikiwa kutoweka baada ya kutekeleza mauwaji hayo na kukimbia na baadhi ya silaha zilizo kuwa kituoni hapo
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni