DAYE SAFARI MAFU ARUDISHA FORM ZA KUWANIA NAFASI YA UBUNGE KATIKA JIMBO LA KIGAMBONI

 Anayewania   nafasi ya ubunge Jimbo la kigamboni  Daye safari mafu amerudisha form baada ya kukamilisha zoezi  la Kujaza form  ya ugombea Ubunge na kukabidhi kwa Katibu Mwenezi wa Wilaya ya Temeke Jiji Dar Es salam


Daye Safari Mafu amesema  endapo atafanikiwa kuchaguliwa nafasi ya ubunge katika jimbo hilo hata akikisha anasimamia  maendeleo kwa wakazi wa kigamboni yanapatikana kwa kuwaletea huuduma za kijamii kama vile maji,afya,elimu,na kuondoa migogoro ya ardhi



Rutuma mafunu katibu mwenyezi wa wilaya ya temeke amesema chama cha mapinduzi hivi sasa idadi ya watangazania imeongezeka siwa na  kukua kwa demokrasia   pia amewataka wananchi na makada wa ccm wajitokeze katika uandikishaji wa daftari la kudumu la kupiga kura ambapo muda wa kupiga kura wapate nafasi ya haki yao ya msingi kumchagua kiongozi wampendaye atakayeweza kuwaletea maendeleo.



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List