ADC WAJIPANGA KWA UCHAGUZI HIVI KARIBUNI

 Chama cha ADC ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE wamesema wamejiandaa vizuri kuakikisha uchaguzi ujao wanashinda kwa kishindo  uchaguzi mkubwa unao tarajiwa kufanyika hivi karibuni Urais, Ubunge na Udiwani  wakijinadi  watahakikisha majimbo na kata zote nchini wanapita bila kupingwa


Mh Saidi  Miraji mwenyekiti wa ADC taifa amesema chama  hiko kimejiandaa kuleta mabadiliko ndani ya taifa katika sekta mbalimbali  ikiwemo elimu afya miundombinu, kilimo
 na ujasiliamali.

Pia watahakikisha wanapiga vita  masuala ya ufisadi na rushwa pia watatumia njia mbadala za kuwawezesha vijana kupata ajira mbali mbali

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List