Chama cha ADC ALLIANCE FOR DEMOCRATIC CHANGE wamesema wamejiandaa vizuri kuakikisha uchaguzi ujao wanashinda kwa kishindo uchaguzi mkubwa unao tarajiwa kufanyika hivi karibuni Urais, Ubunge na Udiwani wakijinadi watahakikisha majimbo na kata zote nchini wanapita bila kupingwa
Mh Saidi Miraji mwenyekiti wa ADC taifa amesema chama hiko kimejiandaa kuleta mabadiliko ndani ya taifa katika sekta mbalimbali ikiwemo elimu afya miundombinu, kilimo
na ujasiliamali.
Pia watahakikisha wanapiga vita masuala ya ufisadi na rushwa pia watatumia njia mbadala za kuwawezesha vijana kupata ajira mbali mbali
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni