mkoa wa dodoma hivi sasa wamejipanga kuboresha upatikanaji wa bidhaa mbali mbali muda wa jioni kuanzishwa kwa soko la jioni mkoani dodoma mjini hali hali hiyo itachangia kuongezeka kwa uchumi kwa wafanya biashara marufu kama machinga pia itawapa fursa kwa viongozi wamalizapo kazi za bunge viongozi hao kupata maitaji wanayo hitaji kwa majira ya jioni
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni