SOKOLO LA USIKU MKOANI DODOMA

 mkoa wa dodoma hivi sasa wamejipanga kuboresha upatikanaji wa bidhaa mbali mbali muda wa jioni  kuanzishwa kwa soko la jioni mkoani dodoma mjini hali hali hiyo itachangia kuongezeka kwa uchumi kwa wafanya biashara marufu kama machinga pia itawapa fursa kwa viongozi wamalizapo kazi za bunge viongozi  hao kupata maitaji wanayo hitaji kwa majira ya jioni


Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List