mkoa wa dodoma hivi sasa wamejipanga kuboresha upatikanaji wa bidhaa mbali mbali muda wa jioni kuanzishwa kwa soko la jioni mkoani dodoma mjini hali hali hiyo itachangia kuongezeka kwa uchumi kwa wafanya biashara marufu kama machinga pia itawapa fursa kwa viongozi wamalizapo kazi za bunge viongozi hao kupata maitaji wanayo hitaji kwa majira ya jioni
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA 24 ZIJAZO
-
UTABIRI WA HALI YA HEWA KWA SAA24 ZIJAZO
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni