SUPER D AHAMASISHA UWANDIKISHAJI WA VITAMBULISHO VYA KUPIGIA KURA

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka alama za vidole wakati wa uhandikishwaji wa vitambulisho vya kupigia kura iliyokuwa ikifanyika katika kitongoji cha Buguru Dar es alaam kulia ni muhandikishaji wa kituo hicho Karim Ibrahimu
Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka alama za vidole wakati wa uhandikishwaji wa vitambulisho vya kupigia kura iliyokuwa ikifanyika katika kitongoji cha Buguru Dar es alaam kulia ni muhandikishaji wa kituo hicho Karim Ibrahimu


Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchinini Rajabu Mhamila  Super D akitia saini kitambulisho chake kabla akijatoka kwa karani wa Karim Ibrahimu

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' askiangalia picha yake kabla akijatengenezwa kitambulisho kwa karani Karim Ibrahimu ilikuwa mpiga picha anapopigwa picha na mtu mwingine

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa Masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' akiweka akionesha kitambulisho chake
Rajabu Mhamila akiwa ametulia
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List