Wanasoka
wastaafuu nchini, wamesema kuna umuhimu mkubwa kwa wachezaji wastaafu kushiriki
mabonanza ya michezo, ili kuimarisha afya zao na kuepuka malazi mbali mbali.
Wito huo
umetolewa na wachezaji wa zamani walio wahi kucheza katika vilabu mbalimbali vya
ligi kuu Tanzania bara na Zanzibar, ambayo wameanzisha bonanza la mwambao,
ambalo uchezwa kila baada ya miezi miwili jijini dar es salaam.
Bonanza la
mwambao ufanyika kila baada ya miezi miwili kwa kushiriki
sha team mbali mbali za maveterani za ukanda wa pwani kutoka mikoa ya dar es salaam na pwani
sha team mbali mbali za maveterani za ukanda wa pwani kutoka mikoa ya dar es salaam na pwani
0 comments:
Chapisha Maoni