Mwenyekiti wa chama cha Democrasia DP.Mchungaji Christopher Mtikila amesema Watanzania wakumbuke wosia wa Mwasisi wa ukombozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ,kupinga viongozi wasiokuwa wadilifu wanaotumia mali na fedha kuingia ikulu..
Mtikila amewataka Watanzania kushirikiana pamoja kutowachagua viongozi wasio kuwa wadilifu |
0 comments:
Chapisha Maoni