Mwenyekiti wa chama cha Democrasia DP.Mchungaji Christopher Mtikila amesema Watanzania wakumbuke wosia wa Mwasisi wa ukombozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere


 Mwenyekiti wa chama cha Democrasia DP.Mchungaji Christopher Mtikila amesema Watanzania wakumbuke wosia wa Mwasisi wa ukombozi wa Tanganyika Mwalimu Julius Kambarage Nyerere ,kupinga viongozi wasiokuwa wadilifu wanaotumia mali na fedha kuingia ikulu..

Mtikila amewataka Watanzania kushirikiana pamoja kutowachagua viongozi wasio kuwa wadilifu
Mchungaji christopher Mtikila anaendelea na nia yake kutaka kuwafikisha mahakamani wagombea hao wawili, anao watuhumu kwa tuhuma mbalimbali,ili vyama vyao vitafute wagombea wenginewalio kuwa wadilifu ndani na nje ya vyama vyao



Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List