Dhuluma kwa masikini

Serikali na taasisi za Haki za Binadamu zimeombwa kumsaidia mwananchi Issa Hassani KIlopola kupata Haki  yake ya kulipwa malimbikizo  ya mshahara wa miaka 25 wa ulinzi wa KIWANJA namba 24  Mtaa wa Mtambani B  Kata ya Jangwani jijini dar es salam.                      Mlinzi Huyo  anadai malimbikizi ya mshahara tangu mwaka 1990 kutoka kwa mmiliki wa awali wa KIWANJA hicho Abbulih Majid anayedaiwa kufariki dunia ,KIWANJA ambacho  sasa kimeuzwa kwa Mbunge aliyemaliza muda wake  Shinyanga Vijijini  Suleiman Nchambi., Mlinzi Hugo akiongea na mwandishi wa MTANDAO huu amesema kwa muda mrefu mwajiri  wake wa awali aliyempa kazi ya kulinda KIWANJA hicho hajaonelkana tangu aliposafiri kwenda Uarabuni anaomba asaidiwe ,anaomba.                            Asaidiwe na vyombo husika wanao shughulika na Haki za Binadamu                    
Baada ya kuona kuna dalili ya kutaka kudhulumiwa Haki  yake na MTU asiyemfahamu ambaye sasa amejitokeza na mmiliki wa KIWANJA hicho.                          Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Mtambani B Kata ya Jangwani  Gungu Tambaza na mmoja wa Wakazi wa mtaa huo.

Mwanasheria Benedict Ishabakaki wa taasisi ya Haki za Binadamu,amesema kitendo alichofanyiwa mlinzi huyo ni unyanyasaji,na amewataka baadhi ya watu juhudi za blog kumpata mmiliki mpya wa KIWANJA hicho ambaye anadaiwa kumuondoa kwa nguvu mlinzi huyo lakini jitihada hizo hazikufanikiwa.kwa Mara kadhaa amepigiwa simu ya mkononi lakini haikupokelewa.

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List