Nabii Paul Bendera amepata Maono kuwa Rais ajaye atatokana na chama cha Mapinduzi

Viongozi wa Kiroho nchini wamekumbushwa kuhubiri na kulinda Amani wakati huu taifa likielekea katika uchaguzi mkuu wa Urais ,Wabunge na Madiwani.                    Rai hiyo imetolewa na Kiongozi wa Kanisa LA Ufunuo na Uzima,NABII Paul Bender's wakati akitoa maono yake kuhusu mwelekeo wa uchaguzi mkuu kwa nafasi ya Rais ,katika mkutano na Waandishi wa habari jijini Dar es salaam.                                  NABII Bendera amesema viongpzi wa Kiroho wametakiwa  kuhubiri upendo ndani ya taifa na kulinda Amani ametumia nafasi ya kuzungumza na Waandishi wa habari
Kuwakumbusha jukumu lao,                     NABII  Paul aliwahi kutoa maono ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na matokeo  yakawa sahihi kwa Uhuru Kenyata kushinda uchaguzi huo na pia hivi karibuni aliwahi kutoa maono ya kuibuka vurugu za kisiasa na kufanyika mapinduzi yatakayoshinda nchini Burundi  vurugu ambazo zilitokea na pia mapinduzi kushindws

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List