Maendeleo ya nchi dr magufuli awataka wahandisi kutumia vyema taaluma zao WAZIRI wa ujenzi fokta john magufuli amewayaka wahandis kutumia viziri taaluma yao kuchsngia maendeleo ya uchumi nchini
Dokta magufuli pia ni mgombea urais kupitia chama cha mapinduzi ccm amesema iwapo atachaguliwa kuwa rais wa Tanzania ataipa kipaumbele sekta ya uhandisi ili kukuza uchumi wa taifa mhandisi ramo makani amesema wamekubaliana kuitrkeleza dira ya miaka 15 ijayo ili kuhakikisha Tanzania inapiga hatua katika maendeleo ya uchumi
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni