KODI YA MIZIGO BANDARINI IMEONGEZEKA NA KUPUNGUZA WATEJA

Wakala  wanaosafirisha MIZIGO  nje ya nchi kupitia  Bandari ya Dar  Es  Salaam wameanza kutumia Bandari  za  nyingine za nchi jirani Kutokana na ongezeko  la  Kodi za mara  kwa  mara Katika 
Bandari za Tanzania.

Kutokana na hali hiyo inaelezwa kuwa Serikali inapoteza fedha nyingi na pia ajira kwa  vijana Kutokana na Kodi, zinazoanzishwa na Mamlaka ya Mapato  nchini  TRA na hivyo Bandari za Tanzania makampuni ya  Usafirishaji  nchini  yamesimamisha shughuli zao  kwa  kukosa Wateja.  

Inaelezwa na Wasafirishaji wa MIZIGO kwamba tozo ya Kodi Katika Bandari ya  Dar Es Salaam na Bandari za Msumbiji ni tofauti  ya Dola 450 za Marekani.
Tozo kwa  Dar Es  Salaam likiwa juu kuliko  Bandari nyingine na kusababisha upungufu wa wateja kwa kiasi kikubwa.
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List