Chama cha Usafirishaji Tanzania wameomba Serikali kuangalia sharia Mpya iliyowekwa ya kutoza gharama Za huduma hiyo kwa sababu itachangia kuporomoka kwa Uchumi. Zakaria Hans Pope Rais wa TAT na Stephen Ngatunga Rais TFFA pamoja Faisal Edha, Mkurugenzi Overland Logistics, Omani Kiponza makamu mkt TAT wameongea hayo na mwandishi wa blog hii.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni