SERIKALI INATAKIWA KUBORESHA MIUNDOMBINU YA RELI TANZANIA.

Wakazi wa jijini Dar es salaam wameomba serikali iboreshe miundombinu ya shirika la reli Tanzania kutoka na adha wanayoipata wasafiri inaotokana miundombinu hiyo kuwa chakavu.Wakazi hao wa wamesema kutokana na miundombinu kuwa chakavu wamekuwa wakipata usumbufu wa mara kwa mara.

haya yamebainishwa na mwandishi wetu wa blog yetu siku chache baada ya watumiaji wa usafili wa treni kukwama maeneo ya Pugu mnadani kutokana na kuanguka kwa behewa la mizigo na abiria hao kushindwa kuendelea na safari.Wakazi wa eneo hilo wameomba serikali kuchukua hatua za haraka za ukarabati na kudhibiti wizi wa miundombinu.

Meneja uhusiano wa shirika la reli Tanzania amekiri kuwa miundombinu chakavu ni chanzo ya shida hiyo na Serikali imeshatenga fedha ya ajili ya Tatizo hilo.Ili kuboresha serikali imejipanga kuboresha mabehewa na kuongeza 22.










Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List