MABONDIA WA MOROGORO WATAMBA KUWASAMBALATISHA WA DAR


Mabondia kutoka morogoro wakiwa katika pozi mara baada ya kuongea na wahandishi wa habari juu ya mpambano wao wa desemba 25 katika uwanja wa jamuhuri morogoro kutoka kushoto ni Epson John atakaezipiga na Sadik Momba, Kudra Tamimu atakaezipiga na Mohamed Matumla na Twaha Kiduku atakaezipiga na Ibrahimu Class 'King Class Mawe'  Picha na SUPER D BOXING NEWS
Promota wa mpambano wa masumbwi Kaike Siraju kushoto  akimwinua mkono juu bondia Twaha Kiduku wakati wa utambulisho wa mpambano wake wa desemba 25  na Ibrahimu Class 'King Class Mawe' utakaofanyika uwanja wa Jamuhuri Morogoro mwingine ni bondia Kudra Tamimu atakaezipiga na Mohamed Matumla Siku hiyo Picha na SUPER D BOXING NEWS

Promota wa mchezo wa masumbwi nchini Kaike Airaju akimwinua mkono juu  Bondia Epson John kwa ajili ya utambulisho wa mpambano wake wa Desemba 25 na Sadiq Momba utakaofanyika katika uwanja wa jamuhuri Morogoro Picha na SUPER D BOXING NEWS
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List