Umoja wa Jumuiya ya Wazazi wa CCM Taifa wamempongeza Rais Dk John Pombe Magufuli kwa juhudi zake za kuhakikisha huduma za kijamii, zinarejea kwa watu wote nchini Pongezi hizo zimekuja kufuatia maelekezo ya Magufuli kuwa fedha za sherehe za Wabunge zilizochangwa na taasisi mbalimbali zipelekwe kununulia Vifaa Katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili pamoja na maelekezo mengineyo yanayotaka matumizi ya fedha za umma kudhibitiwa Abdallah Bulembo ni Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa anapongeza jitihada,za Rais Magufuli Katika utendaji kazi wake huku akiwataka Watanzania wote kumuunga mkono
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni