Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam asubuhi wamekamata Wahamiaji haramu wapatao 105 katika eneo la Tabata Segerea Wilaya ya Ilala jijini Dar es salaam baada ya kupata taarifa kutoka kwa wasamaria wema Polisi walizunguka nyumba hiyo tangu alfajiri na hatimaye kutumia utaratibu wa kisheria kuingia Katika nyumba hiyo na kuipokuwa ndipo walipokutwa watu 105 wanaume na iligundulika kwamba wanatoka nchini Ethiopia
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni