Katibu Mkuu Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dr Donan Mbando amepokea Vifaa tiba vyenye thamani ya dola za Kimarekani laki moja, sawa na takribani shilingi za Kitanzania milioni Mia mbili na tatu kutoka Shirika la Umoja wa Mataifa la kuhudumia watoto UNICEF Vifaa hivyo vimetolewa katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili Dar es salaam kwa ajili ya kupunguza vifo vya Watoto takribani elfu moja
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni