Mgogoro wa Malipo wajenzi wa daraja la kigamboni walilia mapunjo yao wakiomba Serikali iwasaidie kupata haki zao Waliokuwa wafanyakazi wa Ujenzi wa Daraja la Kigamboni 136 ambao walisimamishwa kazi na mwajiri wao Kampuni ya MBEC. CHINA baada ya kudai mapunjo ya mshahara wa muda wa miaka mitatu wamefikisha malalamiko yao hayo kwa Baraza la Usuluhishi wakisikiliza kwa umakini majadiliano yaliyokuwa yakiendelea katika ofisi za Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, kwenye kikao cha Baraza la Usuluhisho baadhi ya wafanyakazi hao wamesema wanachoomba kwa sasa ni stahiki zao Wafanyakazi hao wameiomba Serikali iwasikilize kwa kuwa wamefanya kazi ngumu ya kujenga daraja hilo tangu lilipoanza 2012 walipoahidiwa kulipwa Shilingi 12.500 kwa siku lakini baadaye malipo hayo yalikiukwa na wao kulipwa Shilingi 5.500 kwa siku, wafanya kazi hao wajenzi wa daraja la Kigamboni wameomba shauri hilo lipelekwe mbele yamefanyika makubaliano hayo baada ya kuona wameshindwa kufanyika makubaliano hapo
Baraza la Usuluhishi manispaa ya Temeke
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni