AIRTEL YATOSHA TELEVISHENI KIGANJANI

Kampeni ya Simu za mkononi ya AIRTEL Imezindua huduma mpya kwa wateja wake ya kutazama michezo na burudani ya muziki katika simu za. mkononi kupitia kifurushi cha Yatosha Internet. Huduma hiyo imezinduliwa jijini Dar es Salaam baada ya Airtel kuingia mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Google kupitia huduma ya You Tube

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List