Kampeni ya Simu za mkononi ya AIRTEL Imezindua huduma mpya kwa wateja wake ya kutazama michezo na burudani ya muziki katika simu za. mkononi kupitia kifurushi cha Yatosha Internet. Huduma hiyo imezinduliwa jijini Dar es Salaam baada ya Airtel kuingia mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Google kupitia huduma ya You Tube
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
Saa 9 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni