Kampeni ya Simu za mkononi ya AIRTEL Imezindua huduma mpya kwa wateja wake ya kutazama michezo na burudani ya muziki katika simu za. mkononi kupitia kifurushi cha Yatosha Internet. Huduma hiyo imezinduliwa jijini Dar es Salaam baada ya Airtel kuingia mkataba wa ushirikiano na Kampuni ya Google kupitia huduma ya You Tube
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni