Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hab Mkwiza amewaagiza waajiri katika. Sekta ya Umma nchini kuhakikisha ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma inatekelezwa kabla ya Disemba 31 mwaka huu Hatua hiyo inakuja ikiwa ni jitihada za kurudisha maadili ya kazi kwa watumishi wa Umma, Kutokana na madai ya kuwepo kwa Baadhi ya watumishi kujihusisha na vitendo vya rushwa, ubadhilifu wa mali za Umma, utoro kazini na vitendo vya Unyanyasaji
JAB YAKABIDHI VITAMBULISHO VYA UANDISHI KWA WAANDISHI WALIOKIDHI VIGEZO VYA
KISHERIA
-
Dar es Salaam, Tanzania – Julai 2025
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB),
Wakili Patrick Kipangula, amemkabidhi rasmi ...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni