Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hab Mkwiza amewaagiza waajiri katika. Sekta ya Umma nchini kuhakikisha ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma inatekelezwa kabla ya Disemba 31 mwaka huu Hatua hiyo inakuja ikiwa ni jitihada za kurudisha maadili ya kazi kwa watumishi wa Umma, Kutokana na madai ya kuwepo kwa Baadhi ya watumishi kujihusisha na vitendo vya rushwa, ubadhilifu wa mali za Umma, utoro kazini na vitendo vya Unyanyasaji
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni