MAADILI UTUMISHI WA UMMA NCHINI

Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma. Hab Mkwiza amewaagiza waajiri katika. Sekta ya Umma nchini kuhakikisha ahadi ya uadilifu kwa watumishi wa Umma inatekelezwa kabla ya Disemba 31 mwaka huu Hatua hiyo inakuja ikiwa ni jitihada za kurudisha maadili ya kazi kwa watumishi wa Umma, Kutokana na madai ya kuwepo kwa Baadhi ya watumishi kujihusisha na vitendo vya rushwa, ubadhilifu wa mali za Umma, utoro kazini na vitendo vya Unyanyasaji

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List