Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa wametoa wito kwa baadhi ya Watanzania kuacha kuwanyoshea Vidole baadhi ya Mawaziri na Manaibu waliochaguliwa jana na Rais Dk John Pombe Magufuli badala yake wawape muda ili wawapime kwa utendaji kazi wao. Wito huo umekuja baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza la Mawaziri na manaibu waziri 34. Katika uteuzi kumekuwepo na maoni tofauti huku wengine wakihoji uadilifu na dhamira ya dhati ya wateule hao lwapo wataweza kuwa wazalendo kama Rais Magufuli. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Abdullah Bulembo akiwataka Watanzania kushirikiana na viongozi wa Serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha dhamira ya Rais Magufuli inatekelezeka
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni