BARAZA LA MAWAZIRI LA PONGEZWA NA JUMUIYA YA WAZAZI CCM TAIFA

Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa wametoa wito kwa baadhi ya Watanzania kuacha kuwanyoshea Vidole baadhi ya Mawaziri na Manaibu waliochaguliwa jana na Rais Dk John Pombe Magufuli badala yake wawape muda ili wawapime kwa utendaji kazi wao. Wito huo umekuja baada ya Rais Magufuli kuteua Baraza la Mawaziri na manaibu waziri 34. Katika uteuzi kumekuwepo na maoni tofauti huku wengine wakihoji uadilifu na dhamira ya dhati ya wateule hao lwapo wataweza kuwa wazalendo kama Rais Magufuli. Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Taifa Abdullah Bulembo akiwataka Watanzania kushirikiana na viongozi wa Serikali ya awamu ya tano katika kuhakikisha dhamira ya Rais Magufuli inatekelezeka

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List