CHAKULA BORA CHA KIASILI LISHE

Ukosefu wa Madini Watanzania wengi hawana ufahamu wa Chalula na Lishe.           Uelewa madogo wa masuala ya Chakula na Lishe yamepelekea watanzania wengi kukosa madini mwilini kwa asilimia 60 na hivyo kusababisha magonjwa mbalimbali        Profesa Berrnard Chove Mhadhiri Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo amesema wakulima nchini ndiyo wadau wakubwa wa uzalishaji chakula na kutoa wito kwa kupewa mbinu bora na, za kisasa za Kilimo chenye tija                                                Dr Richard Mongi Mhadhiri chuo kikuu cha Sokoine cha Kilimo Morogoro SUA amesema kuongezeka kwa magonjwa nchini kunatokana na ulaji wa vyakula Vibovu hususani vile vya kusindika kutoka nje ya nchi ambayo havina ubora na kuwataka Watanzania kutumia Vyakula vya kiasili

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List