MABONDIA YONAS SEGU NA MFAUME MFAUME WASAINI MKATABA KUZIPIGA FEB 20 MANZESE


Mabondia Mfaume Mfaume kushoto na Yonas Segu wakitunishiana misuli baada ya kusaini mkataba wa kuzipiga feb 2o katika ukumbi wa frends corner manzese Dar es salaam katikati ni Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS
Mabondi Mfaume Mfaume na Yonas Segu wakisaini mkataba wa kuzipiga feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese katikati ni promota Side Mkigoma Picha na SUPER D BOXING NEWS


Promota wa mpambano wa masumbwi Side Mkigoma katikati akimkabidhi mkataba bondia Yonas Segu atakaezipiga na mfaume mfaume feb 20 katika ukumbi wa frends corner manzese
Picha na SUPER D BOXING NEWS
Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List