RAIA WAPYA

Benki ya Dunia imekubali kuipatia Tanzania mikopo? Tanzania mkopo wa Dola millioni 27 za Kimarekani kwa ajili ya kusaidia Mradi wa Utengamanisho kwa Raia Wapya. Mradi huo unawahusu Waliokuwa Wakimbizi wa Burundi walioingia nchini 1972 ambao sasa wamepatiwa Uraia wa Tanzania Fedha zitakazotolewa na Benki ya Dunia zitatumika katika miradi ya elimu, afya, maji na uhifadhi wa Mazingira kwa raia Wapya

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List