Benki ya Dunia imekubali kuipatia Tanzania mikopo? Tanzania mkopo wa Dola millioni 27 za Kimarekani kwa ajili ya kusaidia Mradi wa Utengamanisho kwa Raia Wapya. Mradi huo unawahusu Waliokuwa Wakimbizi wa Burundi walioingia nchini 1972 ambao sasa wamepatiwa Uraia wa Tanzania Fedha zitakazotolewa na Benki ya Dunia zitatumika katika miradi ya elimu, afya, maji na uhifadhi wa Mazingira kwa raia Wapya
ALHAJI MANSOOR ATOA SADAKA YA RAMADHAN KONGOWE MKOANI PWANI
-
Alhaji Mussa Mansoor amesema kwamba amekuzwa katika utaratibu wa kusoma
Dua ya kurehemu baba yake Mzazi ,Viongozi mbalimbali wa Jamhuri ya Muungano
wa...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni