Benki ya Dunia imekubali kuipatia Tanzania mikopo? Tanzania mkopo wa Dola millioni 27 za Kimarekani kwa ajili ya kusaidia Mradi wa Utengamanisho kwa Raia Wapya. Mradi huo unawahusu Waliokuwa Wakimbizi wa Burundi walioingia nchini 1972 ambao sasa wamepatiwa Uraia wa Tanzania Fedha zitakazotolewa na Benki ya Dunia zitatumika katika miradi ya elimu, afya, maji na uhifadhi wa Mazingira kwa raia Wapya
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni