Wananchi waliobainika Kuhujumu Miundombinu kwa kuchakachua ili waweze kutumia umeme bila malipo yoyote Operation hiyo ambayo imeanza tangu mwaka 2011 imelenga kukomesha vitendo vya uhujumu Miundombinu ya umeme ili kuwawezesha wanachi kunufaika na rasilimali hiyo kwa maendeleo yao Wakaguzi hao wakiwa katika mtaa Oyerstabay kata Msasani barabara ya Mkadini nyumba Prot no. 63 bloc /109 zoezi la ukaguzi kwa nyumba hiyo walipata wakati mgumu baada ya mlinzi kuamrishwa awafungie mlango wasitoke nje zaidi ya masaa. 5.inadaiwa kuwa nyumba hiyo ya Kigogo mmoja alikuwa akifanya kazi Serikalini
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni