Wananchi waliodhurumiwa haki yao ya ardhi walioachiwa na marehemu mama yao wamemuomba Rais John Pombe Magufuli asikie kilio Chao ili awasaidie kurudishiwa haki yao ya Kiwanja Wananchi hao wakazi wa Kata ya Miono Chalinze Kitongoji cha Kikalo halmashauri ya Bagamoyo wameiomba Serikali iwasaidie kwa kuwa ni wanyonge wamenyimwa haki yao ambapo Kiwanja hicho walilithi kutoka kwa marehemu mama yao
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni