Uchakavu wa Majengo ya Chuo, hali hiyo yamsikitisha Naibu Waziri anayeshughulikia Walemavu. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu wenye Ulemavu Dk Abdallah Possi amesikitishwa na hali aliyoikuta katika chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye Ulemavu. Katika Ziara yake tangu ateuliwe kushika nyadhifa hiyo. Dk. Possi amekutana na hali ya uchakavu wa Majengo ya Chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa Ekari Tano
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni