Uchakavu wa Majengo ya Chuo, hali hiyo yamsikitisha Naibu Waziri anayeshughulikia Walemavu. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu wenye Ulemavu Dk Abdallah Possi amesikitishwa na hali aliyoikuta katika chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye Ulemavu. Katika Ziara yake tangu ateuliwe kushika nyadhifa hiyo. Dk. Possi amekutana na hali ya uchakavu wa Majengo ya Chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa Ekari Tano
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni