WALEMAVU WALALAMIKA UCHAKAVU WA MAJENGO YA CHUO CHA YOMBO

Uchakavu wa Majengo ya Chuo, hali hiyo yamsikitisha Naibu Waziri anayeshughulikia Walemavu. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu wenye Ulemavu Dk Abdallah Possi amesikitishwa na hali aliyoikuta katika chuo cha Ufundi Yombo kwa watu wenye Ulemavu. Katika Ziara yake tangu ateuliwe kushika nyadhifa hiyo. Dk. Possi amekutana na hali ya uchakavu wa Majengo ya Chuo hicho sambamba na kumegwa kwa eneo la ukubwa wa Ekari Tano

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List