DAWA ZA KULEVYA NI JANGA LA TAIFA

Waathirika na Dawa za kulevya nchini Mteja mwenye kupata nafuu wameishauri Serikali kuanzisha elimu ya kutambua madhara ya kutumia dawa za kulevya. Elimu hiyo itolewe kuanzia shule ya msingi hadi Sekondari  Vijana watambue matatizo ya utumiaji wa Dawa za kulevya itasaidia jamii kutambua asara za matumizi, Vita lhivyo endapo Serikali itaweza kutowa elimu kuanzia shule za msingi hadi sekondari Tanzania inaweza Kufanikiwa kudhibiti matumizi ya dawa za Kulevya. Mkurugenzi wa Kituo cha kuwasaidia waathirika wa dawa za kulevya Frek amesema tatizo la dawa za kulevya ni janga la Kitaifa kila mwananchi anatakiwa kupiga vita utumiaji na kuwafichuwa wafanyabiashara alamu wa dawa za kulevya

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List