Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetangaza kuendesha operesheni maalum ya kuwakamata watuhumiwa wanaojiusisha na biashara ya dawa za Kulevya, wauzaji wa Pombe aina ya Gongo na majambazi sugu wa kutumia Silaha. Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Ustawi wa Jamii kuwaondoa ombaomba jijini Dar es salaam Kamishina Suleiman Kova amesema wanaendesha operesheni hiyo baada ya kubaini Kuwa baadhi yao wanajihusisha na vitendo vya Uhalifu
Version Conflict: Version Conflict: MASHIRIKA YA UMMA ACHENI WATAKIWA
KUJITEGEMEA
-
Ofisi ya Msajili wa Hazina pamoja na Ofisi ya Mkaguzi kuu wa Hesabu za
Serikali (CAG) imeunda kamati ya pamoja ya kuangalia namna mashirika ya
umma yanavy...
Saa 10 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni