Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetangaza kuendesha operesheni maalum ya kuwakamata watuhumiwa wanaojiusisha na biashara ya dawa za Kulevya, wauzaji wa Pombe aina ya Gongo na majambazi sugu wa kutumia Silaha. Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Ustawi wa Jamii kuwaondoa ombaomba jijini Dar es salaam Kamishina Suleiman Kova amesema wanaendesha operesheni hiyo baada ya kubaini Kuwa baadhi yao wanajihusisha na vitendo vya Uhalifu
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni