Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetangaza kuendesha operesheni maalum ya kuwakamata watuhumiwa wanaojiusisha na biashara ya dawa za Kulevya, wauzaji wa Pombe aina ya Gongo na majambazi sugu wa kutumia Silaha. Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Ustawi wa Jamii kuwaondoa ombaomba jijini Dar es salaam Kamishina Suleiman Kova amesema wanaendesha operesheni hiyo baada ya kubaini Kuwa baadhi yao wanajihusisha na vitendo vya Uhalifu
VIKUNDI VYA WAKANDARASI WA NGUVU KAZI STAHIKI WATAKIWA KUCHANGAMKIA ZAIDI
YA BILIONI15 ZA TARURA DAR.
-
Meneja wa Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini TARURA Mkoa wa Dar es
Salaam Mha. Geofrey Mkinga amevitaka vikundi maalumu vya Wakandarasi wa
nguvu ka...
Saa 6 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni