KAMISHINA WA POLISI KANDA MAALUM

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limetangaza kuendesha operesheni maalum ya kuwakamata watuhumiwa wanaojiusisha na biashara ya dawa za Kulevya, wauzaji wa Pombe aina ya Gongo na majambazi sugu wa kutumia Silaha. Jeshi la Polisi Kanda maalumu ya Dar es salaam kwa kushirikiana na Ustawi wa Jamii kuwaondoa ombaomba jijini Dar es salaam Kamishina Suleiman Kova amesema wanaendesha operesheni hiyo baada ya kubaini Kuwa baadhi yao wanajihusisha na vitendo vya Uhalifu

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List