Wananchi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamedai malipo ya fidia ailingani na ubomoaji wa Nyumba zao. Wamedai fidia iliyotolewa ni ya Mita 15 kutoka barabara kubwa ya Kutoka Jeti Lumo kwenda Buza wakiendelea kulalamika wamedai wamepunja malipo ya Nyumba zao, wameiomba Serikali iwasaidie kilio Chao hili haki hitendeke kisheria
TUME YA TOA KIBALI KWA ASASI 256 KUFANYA KAZI WAKATI WA UCHAGUZI MKUU 2025
-
Na Mwandishi wetu, Zanzibar
Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) imetoa vibali vya kutoa elimu ya
mpiga kura wakati wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 kwa t...
Siku 1 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni