Wananchi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamedai malipo ya fidia ailingani na ubomoaji wa Nyumba zao. Wamedai fidia iliyotolewa ni ya Mita 15 kutoka barabara kubwa ya Kutoka Jeti Lumo kwenda Buza wakiendelea kulalamika wamedai wamepunja malipo ya Nyumba zao, wameiomba Serikali iwasaidie kilio Chao hili haki hitendeke kisheria
JAJI MFAWIDHI MAGHIMBI AWAFUNDA WAJUMBE KAMATI ZA MAADILI ZA MAAFISA
MAHAKAMA PWANI
-
Mhe. Jaji Mfawidhi Salma Maghimbi akimshuhudia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe
Petro Magoti wakati akila kiapo cha kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Maadili
na...
Saa 5 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni