Wananchi hao wakiongea na Mwandishi wa Mtandao huu wamedai malipo ya fidia ailingani na ubomoaji wa Nyumba zao. Wamedai fidia iliyotolewa ni ya Mita 15 kutoka barabara kubwa ya Kutoka Jeti Lumo kwenda Buza wakiendelea kulalamika wamedai wamepunja malipo ya Nyumba zao, wameiomba Serikali iwasaidie kilio Chao hili haki hitendeke kisheria
TARURA YATEKELEZA MIRADI MIKUBWA YA MIUNDOMBINU YA BARABARA YA BILIONI
302.95
-
#Katika kipindi cha Miaka Minne
Dodoma
Mtendaji Mkuu wa Wakala ya Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA),
Mhandisi Victor Seff amesema katika kipindi...
Saa 2 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni