Wanachi wa Vicheji Wilaya ya Mkuranga Mkoa wa Pwani wameamua kuingia kwenye Shamba Pori la Eka 70

Wananchi hao wamesema Pori hilo limekuwa ni kelo kwao kwa kuwa watu wasiowahaminifu wamekuwa wakifanya matukio ya uwalifu ikiwepo kubakwa kuporwa pikipikiu na kuhuwawa na kutupwa katika Pori hilo. Wananchi hao wamejitahidi kutowa taarifa kwa Mwenyekiti wa Serikali ya. Mtaa amna mahamuzi ya kisheria aliyofanya

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List