Wananchi hao wamesema Pori hilo limekuwa ni kelo kwao kwa kuwa watu wasiowahaminifu wamekuwa wakifanya matukio ya uwalifu ikiwepo kubakwa kuporwa pikipikiu na kuhuwawa na kutupwa katika Pori hilo. Wananchi hao wamejitahidi kutowa taarifa kwa Mwenyekiti wa Serikali ya. Mtaa amna mahamuzi ya kisheria aliyofanya
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni