Wafanyakazi hao wakiongea na mwandishi wa Mtandao huu wamesema wamekuwa wakifanya kazi katika Mazingira magumu wakilipwa kiasi cha malipo ya elfu tano kwa siku. Hata hivyo wamesikitishwa kuachishwa kazi ghafura wafanyakazi 174 bila kufata taratibu za kisheria. Mwandishi wa Mtandao huu alimtafuta Afisa mwajiri wa Kampuni hiyo alikataa kutoa ushirikiano na baada ya hapo alikimbia hakutaka kuongea hayo malalamiko yaliyotolewa na wafanyakazi hao. Hata hivyo ilimtafuta Meneja wa mradi Dege eco Village kujibu malalamiko hayo naye alikataa kutowa ushirikiano
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni