Wafanyakazi hao wakiongea na mwandishi wa Mtandao huu wamesema wamekuwa wakifanya kazi katika Mazingira magumu wakilipwa kiasi cha malipo ya elfu tano kwa siku. Hata hivyo wamesikitishwa kuachishwa kazi ghafura wafanyakazi 174 bila kufata taratibu za kisheria. Mwandishi wa Mtandao huu alimtafuta Afisa mwajiri wa Kampuni hiyo alikataa kutoa ushirikiano na baada ya hapo alikimbia hakutaka kuongea hayo malalamiko yaliyotolewa na wafanyakazi hao. Hata hivyo ilimtafuta Meneja wa mradi Dege eco Village kujibu malalamiko hayo naye alikataa kutowa ushirikiano
BALOZI MATINYI AONGOZA UJUMBE WA TANZANIA KATIKA MKUTANO WA BIASHARA KATI
YA NCHI ZA NORDIC NA AFRIKA JIJINI OSLO
-
Balozi Mobhare Matinyi akizungumza na Mwakilishi wa kampuni ya nishati ya
CAMBI ya Norway barani Afrika, Gary Brown, jijini Oslo, pembezoni mwa
Mkutano ...
Saa 14 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni