Wafanyakazi wa Dege eco Village wanajishughulisha na Ujenzi wa Nyumba Kigamboni

Wafanyakazi hao wakiongea na mwandishi wa Mtandao huu wamesema wamekuwa wakifanya kazi katika Mazingira magumu wakilipwa kiasi cha malipo ya elfu tano kwa siku. Hata hivyo wamesikitishwa kuachishwa kazi ghafura wafanyakazi 174 bila kufata taratibu za kisheria. Mwandishi wa Mtandao huu alimtafuta Afisa mwajiri wa Kampuni hiyo alikataa kutoa ushirikiano na baada ya hapo alikimbia hakutaka kuongea hayo malalamiko yaliyotolewa na wafanyakazi hao. Hata hivyo ilimtafuta Meneja wa mradi Dege eco Village kujibu malalamiko hayo naye alikataa kutowa ushirikiano

Share on Google Plus

About Unknown

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 comments:

Inaendeshwa na Blogger.

Wanaofuata

TANGAZO

My Blog List