Wafanyakazi hao wakiongea na mwandishi wa Mtandao huu wamesema wamekuwa wakifanya kazi katika Mazingira magumu wakilipwa kiasi cha malipo ya elfu tano kwa siku. Hata hivyo wamesikitishwa kuachishwa kazi ghafura wafanyakazi 174 bila kufata taratibu za kisheria. Mwandishi wa Mtandao huu alimtafuta Afisa mwajiri wa Kampuni hiyo alikataa kutoa ushirikiano na baada ya hapo alikimbia hakutaka kuongea hayo malalamiko yaliyotolewa na wafanyakazi hao. Hata hivyo ilimtafuta Meneja wa mradi Dege eco Village kujibu malalamiko hayo naye alikataa kutowa ushirikiano
BALOZI MUSSA AKAGUA MAJENGO YA UBALOZI WA TANZANIA NCHINI MALAWI.
-
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
ambaye pia ni Mwenyekiti wa kamati ya miradi ya Wizara, Balozi Said Shaib ...
Saa 20 zilizopita
0 comments:
Chapisha Maoni