Mamlaka ya Chakula na Dawa TFDA wametowa wiki mbili watengeneze Miundombinu ya Machinjio ya Vingunguti na Ukonga Mazizini pia wavae Koti Nyeupe wanapokuwa kazini mahamuzi hayo yamekuwa baada ya kukaa kikao Uongozi wa Machinjio ya Vingunguti na Ukonga Mazizini, Mkurugenzi wa Manispaa ya Ilala na Meneja wa TFDA wa Kanda ya Mashariki
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atache...
Miaka 2 iliyopita
0 comments:
Chapisha Maoni